Zuchu Lyrics

Read the official lyrics to ‘Nani’ by Zuchu and sing along.

Zuchu – Nani Lyrics

He one two one two eh maiki cheki (maiki cheki)
Tunajump jump eh kama kitenesi
Eeh! Kama kalambwanda nda nda kalambwasi
Na kama huna msambwandaa usiingie kati (Ayeee)
Alulue alulueee (Alulue alulueee)
Aah Kama mtu hachezi mzabue (Tumzabue tumzabue)
Sema Alulue alulueee (Alulue alulueee)
Kama mtu hachezi tumtoee (Tumtoe tumtoe)

Eeeh nani anaweza kulicheza sagarumba
Mimi ninaweza kulicheza sagarumba
Nauliza nani anaweza kulicheza sagarumba
Nasame mimi ninaweza kulicheza sagarumba
Maftaaa taa mafta taa mafta taaa
Yamemwagika yamemwagika yamemwagikaaa
Mpaka chini mpaka chini mpaka chiniii
Yamemwagika, yamemwagika, yamemwagika

Amina, Amina na Mwajuma
Wanaringa hawa kima
kumbe wanauza… (usiseme hivyo)

Kilode kilode kilodee
Watoto wadogo wanataka nipotee
Haa! labda nifukiwe chini wala wasiwaongopee
Hee! shindo langu mimi mjikusanye wote
Haya sema shkamoo dada (Shkamoo dada)
Shkamoo kaka (Shkamoo kaka)
Mniamkie shkamoo mama (Shkamoo mama)
Shkamoo baba (Shkamoo baba)
Alulue alulueee (Alulue alulueee)
Ukiona hachezi mzabue (Tumzabue tumzabue)
Sema alulue alulueee (Alulue alulueee)
Haa! Kama mtu hachezi Tumtoee(Tumtoe tumtoe
Sema alulue alulue alulue
Kama mtu hachezi tumtoe, Tumtoe, Tumtoe

Eeh nani anaweza kulicheza sagarumba
Mimi ninaweza kulicheza sagarumba
Nauliza nani anaweza kulicheza sagarumba
Nasema mimi ninaweza kulicheza Sagarumba
Aah twende
Maftaaa taa mafta taa mafta taaa (Yana ninii)
Yamemwagika yamemwagika yamemwagikaaa (Eti mpaka wapi)
Mpaka chini mpaka chini mpaka chiniii (Mamaaa)
Mpaka chini, mpaka chini, mpaka chini
Maamaa!

Read Other Latest Music Lyrics Here

Get Fresh updates as they drop via Twitter and Facebook

This is the end of Song ‘Nani’ Lyrics Zuchu | Celebnob. If you discover any mistake in the song lyrics, please send the correct lyrics by using the Contact Us form.

Thanks for checking out Celebnob Lyrics more lyrics here.